Team Hamisa Mobetto ambao ni mashabiki wake wameamua kumuandalia Birthday dinner mrembo huyo ambaye siku ya jana December 10, 2018 ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa na aliamua kwenda Wilaya ya Kisarawe kuwaona watoto wasiojiweza.
NOOOMA!! USIKU HUU HAMISA ALIVYOKATA KEKI NA MASHABIKI WAKE
Reviewed by Shabiki
on
December 12, 2018
Rating: 5
No comments